Saturday, August 6, 2011

FMD Arusha.

Kwa wakulima wote Tanzania na nchi za jirani hapa ndio sehemu yao yakununulia Trekta pamoja na vifaa vyote vinavohusu ukulima.

Unapoingia tu Fmd lazima ukutane na dada huyu kwa maelezo zaidi Bi Brigita Phillip.

Meneja wa FMD

No comments:

Post a Comment