Saturday, July 23, 2011
NI MWENZI UJAO.
Mwenzi ujao litakuwa limeshafunguliwa,sio kwa wajawazito tu bali hata kina mama na kina dada wanene watapata jeans,top dress na vituvingine vingi usikose kutembelea kama utakuwa mjini Arusha.
Wednesday, July 20, 2011
MARAFIKI...
Musa Mr.Uswazi na Sophia Kessy Miss Mama Land wote walikuwa wanatanganza kipindi cha Jambo Tanzania Radio Triple A fM. Arusha
Mie na Danny ndani ya Hunters Arusha.
Casto na Sophia ndani ya triplea.
Tuesday, July 19, 2011
Monday, July 18, 2011
Sunday, July 17, 2011
UTALII WA NDANI
Mwezi juzi nilipata kutembelea mbuga ya wanyama,Ngorongoro nakunifanya nivutiwe sana na mazingira mazuri ya nchi yetu,.Wakati mwingi huwa tunasisitizwa kutembelea mbuga zetu za wanyama lakini huwa tunapuuza sasa huwa sielewi watu wanapokuwa nje za wenzetuwanakuwa mabalonzi wazuri kwa kujieleza vipi kama MTANZANIA...(wachana na gadhabu za wawekezaji,mafisadi na umeme)
Monday, July 11, 2011
HABARI NZURI KWA KINA MAMA WAJAWAZITO AU WANAOTARAJIA
Wiki iliyopita mjasiriamali huyu bi Sheila NA mumewe walitia timu ndani ya mji wa Arusha kwaajili ya maandalizi ya kufungua duka la mavazi ya wajawazito.Kina dada wengi walizoea kuvaa free dresses tu,lakini sasa Bi,Sheila Fashonistaaaa....anakuletea mavazi yote uliyozoea kuvaa lakini yakiwa yametengenezwa kwaajili ya wajawazito..Hivyo basi litakapofunguliwa nitakupasha habari hizo nzuri.
Walipata muda wakutembea maeneo tofauti ya mji wa Arusha kama Hoteli hii kubwa E.Africa Ngurudoto.
Walipata muda wakutembea maeneo tofauti ya mji wa Arusha kama Hoteli hii kubwa E.Africa Ngurudoto.
Thursday, July 7, 2011
Tuesday, July 5, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)